Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi Amemuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman
Abdulla Ikulu Zanzibar
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu wa Pili wa
Rais ...
1 hour ago

Maskini Zenjy, Darajani uso Wa mji Wa Zanzibar iko vilevile ki-local !!
ReplyDeleteUnataka iwe ki-international?
DeleteSijakusudia kudharau u-local lakini angalau kuwe na mpangilio Wa mambo, stand ya magari , maduka ya bidhaa mbalimbali mabustani yawekwe kimpagilio unaoeleweka na kupendeza mschoni
Delete