Tumetoka mbali katika usafiri huku kwete Zenj enzi hizo gari za aina hii zilikuwa zikitowa huduma ya usafiri kwenda Mashamba kama gari hii ikiwa nakwenda njia ya Mchangani kupeleka abiria mashambani. Kama inavyoonekana ikiwa imejaa na baadhi ya abiria kukaa juu ya bodi.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment