Tumetoka mbali katika usafiri huku kwete Zenj enzi hizo gari za aina hii zilikuwa zikitowa huduma ya usafiri kwenda Mashamba kama gari hii ikiwa nakwenda njia ya Mchangani kupeleka abiria mashambani. Kama inavyoonekana ikiwa imejaa na baadhi ya abiria kukaa juu ya bodi.
DK.SAMIA AKIWA KATIKA PICHA TOFAUTI ALIPOZURU KABURI LA HAYATI DK.MAGUFULI
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha
alipozuru Kabu...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment