Tumetoka mbali katika usafiri huku kwete Zenj enzi hizo gari za aina hii zilikuwa zikitowa huduma ya usafiri kwenda Mashamba kama gari hii ikiwa nakwenda njia ya Mchangani kupeleka abiria mashambani. Kama inavyoonekana ikiwa imejaa na baadhi ya abiria kukaa juu ya bodi.
OKTOBA 29 TUMESHUHUDIA MAKUNDI YA WEZI NA VIBAKA
-
Na Said Mwishehe
NATAKA niseme kabisa na utaamua uwe upande gani lakini ukweli Oktoba 29
mwaka huu katika nchi yetu tumeshuhudia makundi ya vibaka na w...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment