Habari za Punde

FastJet Yazindua Safari Mpya Kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza.

MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani  Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kuliani Lucy Mbogoro Afisa Mahusianona Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara.
MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania  Jimmy Kibati  akimkabidhitiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela Kongola aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza na kurudi Kilimanjaro wakati wa uzinduziwa safari mpya wa shirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda hafla hiyo ilifanyika Mkoani Arusha leo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka gazeti la East African Business Week ,Elisha Mayallah aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza na kurudi Kilimanjaro wakati wa uzinduzi uliofanyika Mkoani Arusha wa safari mpya washirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Entebe Uganda.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka gazeti la Jamboleo, Richard Mwangulube aliyeshinda zawadi ya tiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza na kurudi Kilimanjaro wakati wa uzinduzi wa safari mpya washirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda hafla hiyo ilifanyika Mkoani Arusha leo.
 Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habar itoka Radio 5 Linus Kilembu  aliyeshinda zawadi y atiketi ya bure ya kusafiri kwenda Mwanza na kurudi Kilimanjaro wakati wa uzinduzi wa safari mpya za shirika hilo toka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Entebe Uganda hafla hiyo ilifanyika Mkoani Arusha leo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.