JENGO la Ofisi ya Wizara ya Fedha na Uchumi Pemba,
ambalo ujenzi wake haukufikia mwisho baada ya ukuta wa nyuma wa jengo hilo
kuinama, huku likiwa limeekewa nguzo kuzuwia ukuta huo ili lisianguke. Jengo hili limegharimu mamilioni ya fedha, likiwa karibu na Ofisi ya ZSSF Tibirinzi
Chake Chake.(Picha na Mwandishi Wetu,
Pemba).
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki maadhimisho ya
kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayojumuisha Wi...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment