WANANCHI wa Ngombeni Jimbo la Mkoani wakimsikiliza
kwa makini Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ADC Mhe:Hamad Rashid
Mohamed, wakati alipokuwa akuhutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa
chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC
Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akizungumza na wanachama wa chama hicho wakati wa
mkutano wa hadhara wa kuwanadi wagombea wa Jimbo la Mkoani, huko katika uwanja
wa Ngombeni Wilaya ya Mkoani.(Picha na
Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akiwaonyesha wananchi wa Ngombeni Jimbo la Mkoani
Mfano wa karatasi ya kupigia kura ya urais wa Zanzibar, wakati wa mkutano wa
hadhara wa chama hicho.(Picha na Abdi
Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urasi wa Zanzibar kwa Tiketi ya ADC
Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mkoani Alawi Said
Khamis, wakati wa Mkutano wa hadhara katika uwanja wa Ngombeni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akimnadi mgombea uwakilishi jimbo la Mkoani
Mwajuma Mgwali Makame, wakati wa Mkutano wa hadhara wa chama hicho katika
uwanja wa ngombeni Wilaya ya Mkoani.(Picha
na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akimnadi mgombea uwakilishi jimbo la Mkoani
Mwajuma Mgwali Makame, wakati wa Mkutano wa hadhara wa chama hicho katika
uwanja wa ngombeni Wilaya ya Mkoani.(Picha
na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akimnadi Mgombea udiwani wadi ya ngombeani Zainab Ali Salim, wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho katika uwanja wa mgogoni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akiziungumza na waandishi wa habari kutoka ZBC TV
Khamis Khatib na Redio Jamii Mkoani Shaib Kifaya, mara baada ya kumaliza
mkutano wa hadhara wa chama hicho huko Ngombeni Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman,PEMBA.)
No comments:
Post a Comment