KATIBU Tawala Mkoa wa Kusini Pemba, Amed
Khalid akifungua mafunzo ya siku moja ya utatuzi wa kauli za chuki,
yalioyatarishwa na Baraza la Habari Tanzania MCT afisi ya Zanzibar, na
kufanyika uwanja wa Gombani Chake chake, kulia ni Meneja wa redio jamii Mkoani
Ali Abass Omar na kushoto ni Mtaribu wa ZLSC Pemba, Fatma Khamis Hemed, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Itaendelea Kuwahusisha Kikamilifu Kwenye Utekelezaji wa Miradi Mikubwa ya
Maendeleo kwa Kuzingatia Dhana ya Ushirikishwaji wa Wataalamu wa Kitanzania
Katika Miradi Endelevu ya Kimkakati -Dk.Hussein
-
*SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inathamini sana mchango wa **fani
za Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Zanzibar kwenye utekelezaji wa
mipango...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment