Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Msingi Zanzibar Ahmed Abdulmajid akitoa hotuba kwa Wazazi na Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School baada ya kumaliza sherehe zao katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Baadhi ya Wazazi waliohudhuria katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Wanafunzi Zawadi Saidi kulia na Shufaa makame wakisoma Utenzi katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Mwanafunzi Aisha Khamis akisoma Risala katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar
Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School wakionyesha mavazi ya kiarabu katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School wakionyesha mavazi la Kizanzibari katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School wakionyesha mavazi ya kimasai katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School wakionyesha mavazi ya Komoro katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School wakionyesha mavazi ya Kihindi katika Mahafali ya Sherehe za Farouk Aktas Muslim School iliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Msingi Zanzibar Ahmed Abdulmajid akiwapa vyeti wanafunzi wa Farouk Aktas Muslim School baada ya kumaliza Sherehe zao zilizofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya kiswahili (SUZA)mjini Zanzibar.
(Picha na Yussuf Simai Maelezo)
No comments:
Post a Comment