Hizi huitwa kunazi ni matunda adimu hatarini kutoweka katika visiwa vya Zanzibar
na hizi jee...?
AKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi ...
1 hour ago
Pilipili doria
ReplyDeletePilipili doria
ReplyDeletePilipili doria. Nazo ziko mbioni kutoweka kwa ukataji wa miti hio kwa matumizi ya kuni, mkaa na n.k
ReplyDeleteNi kweli usemayo, hapa Mbweni mpilipil dori umebaki mmoja ,mmikunazi ime baki miwili. ujenzi na kutowaona mababu zetu walikuwa wajinga kutuoteshea miti hii ndio kunakotupelekea kupoteza miti asili hapa Zbar
ReplyDeleteInahitajika jitihada ya makusudi kuwaelimisha wananchi jua umuhimu wa kutunza miti ya asili lakini na huyu muandishi ilikuwa aweke wazi kua hizi ni pipilidori sio kunazi
ReplyDeleteAnoy...5 Mwandishi mbona yuko muwazi picha juu kasema ni kunazi, picha ya chini katoa puzzle kama unaelewa matunda ya asili.
ReplyDeleteKweli iko mbioni kutoweka. Maana mwaka juzi nilenda zanzir kutafuta miche ya matunda ilinichukua muda kuupata mpilipili doria. Niliupata mmoja nikaondoka nao na kuupanda nwanza kwa sasa unajikongoja lakini naamini utakua.
ReplyDelete