Habari za Punde

Mkamandume kisiwani Pemba inavyoendeleza uzalishaji chumvi



 MABWAWA ya uzalishaji Chumvi yaliopo Pujini Mkamandume wilaya ya Chakechake, ambapo yakiwa hayajatayarishwa kwa ajili ya kilimo hicho baada ya kuvunwa hivi karibuni, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 WATOTO ambao wahakupatikana majina yao, wakipakia chumvi kwenye baiskeli, inayozalishwa kwenye mabwawa yaliopo Pujini Mkamandume wilaya ya Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.