WATENDAJI waliowengi wamekuwa wasugu
kuzungumza na waandishi wa habari, lakini kwa waliopo Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wamekuwa wakiwakaribisha waandishi ambapo Afisa
Mipango wa Kituo hicho Khalfan Amour Mohamed, akizungumza na waandishi wa habri
kutoka kituo cha ZENJ FM kulia Radhia Abdalla na Habiba Zarali kutoka Gazeti la
Zanzibar leo, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment