Habari za Punde

Innaa Lillaahi Wainnaa ilayhi r Raajiuun Mwamuzi Mkongwe, Juma Ali (David) ametangulia mbele ya haki

Innaa Lillaahi Wainaaa ilayhi Raajiuun


MWAMUZI mkongwe mwenye beji ya fifa JUMA ALI (David) amefariki dunia Leo katika hospitali ya Chakechake, 


Juma Ali (David) alikuwa pia Mwenyekiti wa CCM tawi la Wawi, maziko yatafanyika leo Chakechake

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.