Naibu Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad
Yussuf Masauni
akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani) kuhusu hatua
zinazochukuliwa na Wizara
kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi
kinyume
na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara
ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia
hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya
kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi jijini Dar es Salaam.
Afisa Uhamiaji mkoa wa Dar
es Salaam, Naibu Kamishna, Johannes Msumule akizungumza katika mkutano na
Waandishi wa Habari ambapo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad
Yussuf Masauni alizungumzia hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni
wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
No comments:
Post a Comment