Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
Viongozi wa Dini Kanda ya Kati Wataka Amani Uchaguzi Mkuu
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania
kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kus...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment