Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
Nafasi Arts Kutikisa Dar kwa Kongamano la Sanaa la Wiki Nzima
-
Dar es Salaam. Afisa Sanaa Mwandamizi kutoka Baraza la Sanaa la Taifa
(BASATA), Abel Ndaga, amesema kuwa sekta ya Sanaa ni miongoni mwa sekta
zinazokua k...
48 minutes ago

No comments:
Post a Comment