Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
Mwakilishi wa Jimbo la Bumbwini Kukabidhi Vifaa na Zawadi kwa Wanafunzi
Waliofanya Vizuri Masomo yao
-
Na. Takdir Ali.
Mwakilishi wa Jimbo la Bumbwini Mhe. Mtumwa Peya Yussuf amewataka Vijana
kukiamini na kukichaguwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kiendele...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment