Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Sheria Pemba

 
WASANII wa kikundi cha Mkota ngoma kutoka Mkoani, wakionyesha sura za huzuni mwisho wa igizo lao, lililoonyesha athari za matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, na kuhutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba


MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba (kulia) Mwanajuma Majid Abdallah,  akimsalimia Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Hanuna Ibrahim Massoud, kabla ya Mkuu huyo wa Mkoa kuwahutubia wananchi na wanasheria, kwenye siku ya sheria ambayo kwa Pemba ilifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake
VIONGOZI mbali mbali waliomeza kuu wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, wakiwa wamesimama kuitikia wimbo wa taifa, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria, ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba
WAENDESHA Mashitaka, mahakimu na mawakili wa kujitegemea  wamesimama kuitikia wimbo wa taifa, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, na kuhutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba
JAJI wa Mahakamu kuu Zanzibar Mhe: Rabia Hussein Mohamed akielezea malengo waliojipangia kwenye Idara ya Mahakama, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, na kuhutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba
MDHAMINI wa afisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Pemba Al-baghiri Yakuoti Juma akisoma hutuba kwenye  kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, na kuhutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba



WAENDESHA Mashitaka, mahakimu na mawakili wa kujitegemea  wakimsikiliza Jaji wa mahakama kuu Zanzibar Mhe: Rabia Hussein Mohamed, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, na kuhutubiwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, 
VIONGOZI wa taasisi mbali za serikali na wafanyakazi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake
ya watendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC na hakimu wa mahakama ya mkoa Chakechake Khamis Simai wa mwisho kushoto, wakibadilishana mawazo kwenye maadhimisho ya siku ya sheria ambapo kwa Pemba yalifanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake


MAWAKILI wa kujitegemea, mahakimu, waendesha mashitaka, wanasheria wengine pamoja na majaji wa mahakamu kuu wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, na Mkuu wa wilaya ya Chakechake kwenye picha ya pamoja, mara baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya siku ya sheria (law day) yaliofanyika uwanja wa Tibirinzi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.