Habari za Punde

Naibu Waziri Mpina Azungumza na Waandishi wa Habari Dar.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mheshimiwa Luhaga Mpina akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Siku ya Mazingira Barani Afrika inayofanyika kila tarehe 3 ya Mwezi Machi ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha Watanzania kushiriki katika  kutekeleza jukumu  la  kufanya usafi wa mazingira linalofanyika kila juma mosi ya mwisho wa mwezi Kitaifa.
Sehemu ya Wadau na Waandishi wa Habari walioshiriki kusikiliza Tamko la Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba lililotolewa kwa niaba na Naibu Waziri wake , Mheshimiwa Luhaga Mpina katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.