Nyumba ya Wakaazi wa mtaa wa Kiponda Unguja katika Mji Mkongwe tayari limeshafanyiwa mategenezo yake kwa kiasi kikubwa na karibu kumalizia ujezi huo kuweza kuruhusu wakaazi wa nyumba hiyo kurudi katika Makaazi yao Ujenzi huo unafanywa na Kamati ya Maafa ya Zanzibar, na tayari limeshafanyiwa ukarabati mkubwa wa kuezekwa kwa bati jipya na kumalizia sehemu ya ndani ya jengo hilo kama linavyoonekana pichani.
TIRDO YAFANIKISHA KUFUNGA MTAMBO UNAOONDOA GANDA LAINI LA KOROSHO
-
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikisha
kufungwa kwa mtambo unaoondoa ganda laini la korosho ili kuongeza thamani
zao hil...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment