Habari za Punde

Wanafunzi Kisiwani Pemba Wapewa Elimu ya Kukabiliana na Maafa.

Mratibu wa Idara ya maafa Pemba Khamis Arazak akizungumza na wanafunzi wa skuli ya Msingi Ndagoni, juu  ya mambo mbali mbali ya kujikinga na maafa wakati 
yanapotokea
Kaimu Mkurugenzi wa kamisheni ya kukambiliana na Maafa  Zanzibar Makame Khatib Makame,akizungumza na wanafunzi wa skuli ya ndagoni Msingi, juu ya kukabiliana na 
maafa yanapotokea
Wanafunzi wa Skuli mbali mbali za Msingi Ndagoni Wilaya ya Chake Chake Pemba , wakiwa makini kufuatia mada mbali mbali zinazohusiana na maafa, wakati walipokuwa wakipatia taaluma hiyo kutoka Idara ya Maafa Pemba.
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Ndagoni wakimsikiliza Maratib wa Idara ya Maafa Pemba, Khamis Razak hayupo pichani wakati alipokuwa akitoa aina za maafa kwa wanafunzi hao.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.