Habari za Punde

Mkutano wa ushirika wa tufaane ‘saving and credit’

 WANACHAMA wa ushirika wa ‘tufaane uliomo ndani ya wizara ya maji Pemba, wakimsikiliza Katibu wa ushirika huo, hayupo pichani, akisoma risala ya ushirika huo, kwenye mkutano mkuu uliofanyika Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 SHEIKH Mohamed Yahya akisoma dua maalaum ya ufunguzi wa mkutano wa ushirika wa tufaane ‘saving and credit’, mkutano huo ulifanyika Mamlaka ya maji ‘ZAWA’ Machomane Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 KATIBU wa ushirika wa ‘tufaane saving and credit’ Khamis Hamad Hassan, akisoma risala kwenye mkutano mkuu wa ushirika huo, ulifanyika Mamlaka ya maji ‘ZAWA’ Machomane Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 KATIBU tawala wilaya ya Chakechake, Rashid Abdalla Rashid, akifungua mkutano mkuu wa ushirika wa ‘tufaane saving and credit’ ulifanyika Mamlaka ya maji ‘ZAWA’ Machomane Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MSHIKA fedha wa ushirika wa ‘tufaane saving and credit’ Juma Ali Juma akiwasilisha taarifa ya fedha, kwenye mkutano mkuu wa ushirika huo, ulifanyika Mamlaka ya maji ‘ZAWA’ Machomane Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.