WANAFUNZI wa skuli ya msingi ya Gando wilaya ya wete,
wakitoka madarasani kwa ajili ya mapumziko rasmi ya ‘rises’ ambapo baadae
hulazimika kurudi tena madarasani kuendelea na masomo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
LICHA ya serikali kupiga marufuku kwa
wafanyabiashara kuacha kuuza biashara za vyakula vibivu na maji maji, katika
kipindi hichi kukiwa na mripuko wa mardhi ya kipindu pindu, bado wapo baadhi yao,
wamekuwa wakipuuzia amri hiyo, kama mfanyabiashara huyu akiwauzia wanafunzi wa
askuli ya Gando Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment