Habari za Punde

Kampuni ya Resolution insurance ltd yafutarisha wadau mbali mbali


Mkurugenzi Mkaazi wa Kampuni ya Resolution Insurance Ltd Oscar Osir akipata iftar pamoja na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Musa Bin Salum katika iftar kwa ajili ya wateja na wafanyakazi wake iliyoandaliwa na kampuni ya Resolution Insurance LTD jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi Mkaazi wa Kampuni ya Resolution Insurance Ltd Oscar Osir akiongea na wadau mbalimbali(hawapo pichani) kwa ajili ya kuwashukura kwa kuja katika iftar iliyoandaliwa na kampuni ya Resolution Insurance LTD jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Musa Bin Salum akiongea na wadau mbalimbali(hawapo pichani) kwa ajili ya kuwakumbusha mambo mema katika mwezi mtukufu wa Ramadhan katika iftar iliyoandaliwa na kampuni ya Resolution Insurance LTD jijini Dar es Salaam.
Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Musa Bin Salum 

Wafanyakazi wa Resolution Insurance
Wateja wa kampuni ya Resolution Insurance wakipata iftar
Wadau mbali mbali wakipata iftar
Wadau mbali mbali wakipata iftar
Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Musa Bin Salum akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkaazi wa Kampuni ya Resolution Insurance Ltd na Mwenyeketi wa Bodi ya Wakurugenzi Bi.Zuhura Muro

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.