Habari za Punde

Mkutano maalum wa kujadili mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa wafanyika Pemba

 WAFANYABIASHARA kisiwani Pemba, wakiwa kwenye mkutano maalum wa kujadili mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa, mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ZBS, uliofanyika kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAFANYABIASHARA kisiwani Pemba, wakiwa kwenye mkutano maalum wa kujadili mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa, mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ZBS, uliofanyika kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 AFISA Mdhamini wizara ya biashara viwanda na Masoko Pemba Abdalla Juma Khamis, akizungumza kwenye mkutano maalum, wa kujadili mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa, mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ZBS, na kufanyika kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza kwenye mkutano maalum wa kujadili, mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa, mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ‘ZBS’ na kufanyika kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoka Zanzibar Mhe: Balozi Amina Salum Ali, akizungumza katika ufunguzi wa mkutano maalum wa kujadili mfumo wa ukaguzi bora wa bidhaa, mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ‘ZBS’ na kufanyika, kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


 MKURUGENZI mkuu wa Taasisi ya Viwango Zanzibar ‘ZBS’ Khatib Mwadini Khatib, akiitambulisha taasisi hiyo, kwa wafanyabiashara kisiwani Pemba, kwenye mkutano uliofanyika Kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 MKUU wa Ukaguzi, Udhibiti na Uboro wa biadhaa kutoka Taasisi ya Viwango Zanzibar ZBS Suleiman Abdalla Mohamed, akiwasilisha mada juu ya Mfumo wa Udhibiti, na Ubora pamoja na ukaguzi, kwa wafanyabiashara kisiwani Pemba, kwenye mkutano uliofanyika Kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 MAJI ya Aqua Blue Zanzibar, ambayo ni moja kati ya bidhaa zinazolishwa na kampuni hiyo, ambayo imeshathitishwa ubora wake na Taasisi ya Viwango Zanzibar ZBS, ambayo pia yalitumika kupewa washiriki kwenye mkutano uliofanyika Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.