Kaimu Mratibu
wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Ndg.Khalfan Amour
Mohamed, akizungumza wakati wa mafunzo hayo ya elimu ya uraia kwa wanafunzi wa skuli za
sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba yaliofanyika afisini kwao mjini Chakechake.
Afisa wa Elimu skuli za sekondari mkoa wa kaskazini Pemba,Ndg. Said Massoud Othman akifungua
mafunzo ya elimu ya uraia kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa huo,
yalioandaliwa na kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la
Pemba
Wanafunzi wa
skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, wakiwa kwenye mafunzo ya elimu
ya uraia yalioendeshwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la
Pemba, yaliofanyika afisini kwao mjini Chakechake
Mtoa Mada Ndg.Mohamed Hassan Ali Kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la
Pemba, akiwasilisha mada juu ya umuhimu na nafasi ya elimu ya uraia kwa
wanafunzi, kwenye mafunzo yalioandaliwa na ZLSC na kufanyika afisini kwao mjini
Chakechake
Mwanafunzi wa sekondari kutoka mkoa wa kaskazini Pemba, ambae
hakupatikana jina lake akichangia jambo kwenye mafunzo ya elimu ya uraia
yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
No comments:
Post a Comment