Mchezaji wa timu ya Nyuki akiwa na mpira huku mchezaji wa timu ya Polisi akiwa tayari kumzuiya wakati wa mchezo wao wa ligi ya Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa maisara Timu ya Nyuki imeshinda kwa Vikapu 79-75. Mchezo huo uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote kwa funga ni kufunge hatimai Timu ya Nyuki kuibuka kwa ushindi wa Vikape 4 mbele na kupata ushindi wa mchezo huo.
KOCHA LAURENCE AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA WACHEZAJI TABORA UNITED
-
Kocha Mkuu wa Timu ya Tabora United Denis Laurence amesema kuwa katika
kipindi cha siku saba tangu alipojiunga na timu anaridhishwa na viwango vya
wachez...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment