TANGAZO
MAALUM
Mamlaka ya Mapato Tanzania -Zanzibar (TRA) Inawakumbusha Wafanyabiashara Wote Kwamba ni Kosa Kisheria Kufanya Mauzo ya Bidhaa au Huduma Yoyote Bila Kutoa Risiti.
Kwa Upande wa Mnunuzi Pia ana Haki na Wajibu wa Kudai Risiti Yake Kila Wakati Anapofanya Manunuzi
Inasisitizwa Ukiuza Toa Risiti na Ukinunua Dai Risiti.
‘‘PAMOJA TUNAJENGA TAIFA LETU’’
ImetotewanaKitengo cha
ElimunaHudumakwaWalipakodi
TRA-Zanzibar
No comments:
Post a Comment