Ujumbe wa watu wawili kutoka Sundsvall Manispaliti wawasili leo kwa ziara ya wiki moja kwa wenyeji wao Wadi ya Makunduchi. Walipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar walipokelewa na wenyeji wao wa Makunduchi Ndugu Mohamed Simba kutoka kushoto na Mwalimu Hafidh bin Ameir pamoja na ndugu Mohamed Muombwa (hayupo kwenye picha) ambaye ni mratibu wa mahusiano kati ya wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sundsvall nchini Sweden.
Bima ya AfyaPass kutoka VodaBima Yarahisisha Upatikanaji wa Huduma za Afya
-
Mwamko mdogo wa Watanzania kuhusu bima ya afya ni mojawapo ya changamoto
katika kutoa huduma bora za afya kwa wote kutokana na idadi ndogo ya
Watanzania we...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment