Habari za Punde

Ujumbe kutoka Manisipaliti ya Sundsvall nchini Sweden wawasili

Ujumbe wa watu wawili kutoka Sundsvall Manispaliti wawasili leo kwa ziara ya wiki moja kwa wenyeji wao Wadi ya Makunduchi.  Walipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar walipokelewa na wenyeji wao wa Makunduchi Ndugu Mohamed Simba kutoka kushoto na Mwalimu Hafidh bin Ameir  pamoja na ndugu Mohamed Muombwa (hayupo kwenye picha) ambaye ni mratibu wa mahusiano kati ya wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sundsvall nchini Sweden. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.