Habari za Punde

Waziri wa elimu azungumza na Walimu wa skuli za msingi na sekondari za wilaya ya Wete Pemba

 WAALIMU wa skuli za msingi na sekondari za wilaya ya Wete Pemba, wakimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, wakati akizungumza nao, kwenye ukumbi wa baraza la wawakilishi mjini Wete, (Picha na Haji Nassor, Pemba)

 AFISA Elimu wilaya ya wete Pemba Khamis Said Hamad, akisoma ripoti ya kazi ya wilaya hiyo, mbele ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, kabla ya kuzungumza na waalimu wa wilaya hiyo, kwenye ukumbi wa baraza la wawakilishi mjini Wete, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 AFISA Mdhamini wizara ya Pemba, Salum Kitwana Sururu akifafanua jambo mbele ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, kabla ya waziri huyo kuzungumza na waalimu wa wilaya ya wete, kwenye ukumbi wa baraza la wawakilishi mjini Wete, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya amali Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, akizungumza na waalimu wa wilaya ya wete, kwenye ukumbi wa baraza la wawakilishi mjini Wete, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWALIMU Omar Ali Bakar wa skuli Chwale akiuliza suali kwenye mkutano wa waalimu wa wilaya hiyo, mbele ya waziri wa wizara hiyo Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa baraza la wawakilishi Wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 MWALIMU Wanu Ussi Makame wa skuli Uvinje  akitaka ufafanuzi wa jambo, kwenye mkutano wa waalimu wa wilaya hiyo, mbele ya waziri wa wizara hiyo Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa baraza la wawakilishi Wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWALIMU Fatma Ali Hamad wa skuli ya Maandalizi Jadida akitaka ufafanuzi wa umri wa kustaafu, kwenye mkutano wa waalimu wa wilaya hiyo, mbele ya waziri wa wizara hiyo Zanzibar Mhe: Riziki Pemba Juma, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa baraza la wawakilishi Wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Elimu na Mkoa wa kaskazini Pemba Mohamed Nassor, akijibu hoja za baadhi ya waalimu wa wilaya ya Wete, kwenye mkutano wa waalimu uliohutubiwa na waziri wa wizara hiyo Mhe: Riziki Pemba Juma, mkutano uliofanyika ukumbi wa baraza la wawakilishi Wete (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.