Habari za Punde

Mkuu wa Wilaya ya Wete akabidhi vifaa kwa Redio Jamii Pemba

 MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Khatib, akizungumza na Waandishi wa habari na viongozi wa PPC, katika hafla ya kukabidhi vifaa mbali mbali kwa viongozi wa Redio jamii za Pemba, vilivyotolewa Klabu ya waandishi wa Habari Pemba (PPC).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Kharib, akimkabidhi laptop meneja wa Radio Jamii Mkoani Ali Massoud Kombo, kwa ajili ya kufanyia vipindi mbali mbali vya redio, katika utekelezaji wa mradi wa miezi tisa unaojulikana kwa jina la Sauti yangu Mtaji wangu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Kharib, akimkabidhi Projekta Makamo Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari Pemba (PPC)Ali Haji Mwadini, katika utekelezaji wa mradi wa miezi tisa unaojulikana kwa jina la Sauti yangu Mtaji wangu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 AFISA Mdhamini Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja, akizungumza na waandishi wa habari Kisiwani Pemba, katika hafla ya kuwakabidhi vifaa viongozi wa Radio jamii Micheweni na Mkoani, vilivyotolewa na Klabu wa Waandishi wa habari Pemba (PPC)katika utekelezaji wa mradi wa miezi tisa unaojulikana kwa jina la Sauti yangu Mtaji wangu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Kharib, akisalimiana na waandishi wa habari Kisiwani Pemba, mara baada ya kuzungumza nao na kukabidhi vifaa mbali mbali kwa viongozi wa Resio Jamii zilizopo Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.