Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Cuba Bwana Salvador Antonio Valdes Mesa wa Tatu upande wa Kushoto na ujumbe wake akizungumza na mwenyeji wake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa kwanza kulia ofisini kwa Balozi Seif Vuga Mjini Zanzibar.
Balozi Seif akimuonyesha mgeni wake Bwana Salvador baadhi ya vitu vya utamaduni kama kanga pamoja na vyakula vya viungo alivyomuandalia kama zawadi ya uwepo wake Visiwani Zanzibar.
Balozi Seif akimkabidhi zawadi ya Kasha Makamu wa Rais wa Cuba Bwana Salvador likisheheni vitu vya utamaduni na vyakula vya viungo mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kulia akimuaga mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Cuba Bwana Salvador Antonio Valdes Mesa mara baada ya mazungumzo yao.
Picha na – OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment