Habari za Punde

Kamati ya BLW kusimamia Viongozi wa kitaifa ziarani Pemba

MJUMBE wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa, ambaye ni Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Mhe:Simai Mohamed Simai(Mpaka basi), akimwangalia Mjumbe mwenzake mwakilishi wa Viti Maalum kutoka Kaskazini Unguja Mhe:Mtumwa Suleiman Makame, wakati alipokuwa akipakasa ukili baada ya kutembelea kikundi cha Jiendeleze maisha bora Wingwi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.