MJUMBE wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya
Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa, ambaye ni Mwakilishi wa Jimbo la
Tunguu Mhe:Simai Mohamed Simai(Mpaka basi), akimwangalia Mjumbe mwenzake
mwakilishi wa Viti Maalum kutoka Kaskazini Unguja Mhe:Mtumwa Suleiman Makame,
wakati alipokuwa akipakasa ukili baada ya kutembelea kikundi cha Jiendeleze
maisha bora Wingwi.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI RIDHIWANI AIPONGEZA BENKI YA CRDB KUWEZESHA VIJANA KIUCHUMI
-
Na Mwandishi Wetu - Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye
Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amepongeza jitihada zinazof...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment