MJUMBE wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya
Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa, ambaye ni Mwakilishi wa Jimbo la
Tunguu Mhe:Simai Mohamed Simai(Mpaka basi), akimwangalia Mjumbe mwenzake
mwakilishi wa Viti Maalum kutoka Kaskazini Unguja Mhe:Mtumwa Suleiman Makame,
wakati alipokuwa akipakasa ukili baada ya kutembelea kikundi cha Jiendeleze
maisha bora Wingwi.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
59 minutes ago
0 Comments