Mchezaji wa Timu ya Kilimani City na Taifa ya Serengeti Boys Hussein Mwinyi (DECO) akiwasili katika bandari ya Malindi Zanzibar akitokea Jijiji Dar es Salaam alikokua akishiriki katika Timu ya Taifa ya Seregenti Boys ikiwakilisha Tanzania katika michuano ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 iliomaliza michuano hiyo hivi karibuni.
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment