Mchezaji wa Timu ya Kilimani City na Taifa ya Serengeti Boys Hussein Mwinyi (DECO) akiwasili katika bandari ya Malindi Zanzibar akitokea Jijiji Dar es Salaam alikokua akishiriki katika Timu ya Taifa ya Seregenti Boys ikiwakilisha Tanzania katika michuano ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 iliomaliza michuano hiyo hivi karibuni.
EXIM BANK YAENDELEA KUWAINUA KIUCHUMI WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUPITIA MPANGO
WA WEP
-
Exim Bank, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP),
imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa
wanawak...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment