Bodi ya Mapato Zanzibar "ZRB" katika kutekeleza majukumu yake ya kazi leo wamelifungia Shirika la Umeme Zanzibar "ZECO" kwa kushindwa kulipa deni la kodi ya Serikali tukio lilitoke jana. Deni jhilo linasemekana kufikia Bilioni tatu zinazodaiwa na ZRB
LIPA KODI KWA MAENDELEO YA ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment