Ujengi wa Barabara mpya ya fuoni ukiwa umekamilika ujenzi wake uliojengwa na Kampuni ya MECCO Tanzania na kuaza kutowa huduma kwa wananchi wa Zanzibar kwa wanaotumia barabara hiyo kuelekea maeneo ya Mkoa wa Kusini Unguja kama inavyoonekana picha ikiwa katika hali ya kisasa.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment