Ujengi wa Barabara mpya ya fuoni ukiwa umekamilika ujenzi wake uliojengwa na Kampuni ya MECCO Tanzania na kuaza kutowa huduma kwa wananchi wa Zanzibar kwa wanaotumia barabara hiyo kuelekea maeneo ya Mkoa wa Kusini Unguja kama inavyoonekana picha ikiwa katika hali ya kisasa.
WAWEKEZAJI WA CHINA, UWT WAJADILI KUHUSU NISHATI SAFI
-
Na MWANDISHI WETU
WAWEKEZAJI kutoka China wamekutana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na
kujadiliana kuhusu uwekezaji hususan katika uzalishaji wa Nis...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment