Ujengi wa Barabara mpya ya fuoni ukiwa umekamilika ujenzi wake uliojengwa na Kampuni ya MECCO Tanzania na kuaza kutowa huduma kwa wananchi wa Zanzibar kwa wanaotumia barabara hiyo kuelekea maeneo ya Mkoa wa Kusini Unguja kama inavyoonekana picha ikiwa katika hali ya kisasa.
Alliance One yajenga viwanja vya shule ya msingi gharama ya 241m/-
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro
Serikali imepokea viwanja vitatu vya michezo pamoja na njia maalum ya
riadha, vilivyojengwa kwa msaada wa kampuni ya tumba...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment