Wachezaji w Timu ya Kijichi wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Jangombe kabla ya kuaza kwa Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika jana usiku uwanja wa amaan, Timu ya Taifa ya Jangombe imeshanda mchezo huo kwa bao. 1--0.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Jangombe wakiomba dua kabla ya mchezo wao na Timu ya Kijichi mchezo uliofanyika katika uwanja wa Amaan Timu ya Taifa ya Jangombe imeshinda bao 1--0.
No comments:
Post a Comment