NAIBU waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar, Mhe:Mihayo Juma N’hunga akifungua mafunzo ya siku moja watendaji
wakuu wa Mfuko wa Jimbo Kisiwani Pemba, huko katika Ukumbi wa Tasaf Chake Chake
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Mzumbe Ndaki ya Mbeya Yafanya Mahafali ya 24 ya Chuo
-
CHUO Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, kimekamilisha ujenzi wa zahanati ya
kisasa iliyogharimu shilingi 465,706,251.70, ambayo sasa imeanza kutoa
huduma za afy...
1 hour ago
0 Comments