Mkurugenzi
Mtendaji wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba, (kushoto), akimwelezea jambo Makamu wa Rais wa Shirika la Serikali ya Japan, linaloshughulikia uratibu wa misada ya maendeleo ya kimataifa, (JICA),
Suzuki Noriko, kuhusu hatua iliyofikiwa
na TANESCO katika uboreshaji wa miundombinu ya kupoza na kusambaza umeme
alipotembelea kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Ilala-Mchikichini jijini
Dar es Salaam, ambapo JICA inashirikana na serikali katika kukiboresha kituo
hicho.
<!--[if gte mso 9]>
Mafundi wa TANESCO kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Japan, wakimalizia kazi ya kufunga mitambo kwenye kituo hicho cha Ilala |
<!--[if gte mso 9]>
No comments:
Post a Comment