Kikosi cha Polisi Usalama barabarani kukataza kuchukua abiria kupita uwezo wa gari husika kuna baadhi ya madereva na utingo wa gari hizo hukiuka sheria hiyo na kuchukua abiria kupita kiasi na kuhatarisha usalama wa abiria hao kama ilivyokutwa gari hii ya daladala njia ya Mwanyanya ikiwa na abiria wakiwa wananing'inia katika kibao cha gari hiyo na kuhatarisha usalama wao.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment