Balozi Dr Ali
Ahmed Saleh akiwa na Mabingwa wa ZBC Zanzibar
timu ya wilaya Wete Pemba nyumbani kwake Zanzibar
baada ya tafrijaa ya kuwapongeza kwa ushindi wao katika Fainali ya Michuano ya Kombe la Watoto ZBC Watoto Mapinduzi Cup U-17
Balozi Dr Ali
Saleh akiwa pamoja na viongozi wa Mabingwa Wilaya ya Wete U17 Zanzibar wakifurahia kombe lao wakati alipowaalika kuwapongeza kwa ushindi wao
Baadhi ya
wachezaji wa Wete U17 wakisikiliza
nasaha za viongozi baada ya tafrijaa ya kuwapongeza kwa ushindi wao katika Fainali ya Michuano ya Kombe la Watoto ZBC Watoto Mapinduzi Cup U-17
No comments:
Post a Comment