Habari za Punde

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Ndg, Shaka Hamdu Shaka Ashiriki katika Mazishi ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Ludewa.

Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akisain kitabu cha wageni alipowasili katika ofisi za CCM Wilayan Masasi
 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka ,akimfariji Mzee Suleiman Nasr,Baba Mzazi wa aliyekuwa katibu wa Umoja Wa Vijana wa CCM Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe,Ali Nasri aliyefariki juzi na kuzikwa jana Masasi Mkoa wa Mtwara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa tatu kushoto Mwenye suti Nyeusi akiwa katika kisomo cha pamoja na wanazuon mbalimbali Wilayan Masasi Mkoa wa Mtwara 
Shekh Mkuu wa Mkoa wa Lindi Al Hajj Mohammed Said Mshangani akitoa Mawaidha msibani  kwa Viongozi mbali mbali na wananchi Wilayani Masasi.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka pamoja na Vijana na Viongozi mbali mbali wa Chama Wakibeba Mwili wa Marehemu Ally Seleman aliyekuwa Katibu wa UVCCM Wilaya ya Ludewa
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa Tano kushoto akiwa pamoja na viongozi wa Dini ya kiislamu na Wananchi mbalimbali Wilayani masasi wakisoma dua  Mara baada ya Kuhifadhi mwili wa Marehemu Ally Nasri aliyekuwa katibu wa UVCCM wilaya ya Ludewa katika makaburi ya Masasi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.