BIASHARA ya tunda aina
ya Tikiti maji, imepooza katika siku za hivi karibuni kisiwani Pemba, licha ya
wakulima na wachuuzi wa bidha hiyo, kupunguza bei, lakini kumekuwa na tatizo la
wateja ingawa hata wakulima nao wameongezeka, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment