Eneo la barabara ya Darajani likiwa katika hali ya utulivu na kupungua kwa msongamano wa magari katika eneo hilo tafauti na siku za nyuma eneo hili lilikuwa na msongamano wa magari kwa wakati wa asubuhi na mchana kwa sasa likiwa katika mandhari ya utulivu kwa wananchi wanaofika katika marikiti ya Darajani kufuata mahitaji yao.
DKT. NCHEMBA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amelihakikishia Shirika
la Marekani la Changamoto za Milenia (Millenn...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment