Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk.Sira Ubwa Mamboya kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi (BLM) na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum,katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/01/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bi,Zainab Omar Mohamed kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Jamii Wazee Wanawake na Watoto,katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/01/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk.Mauwa Abeid Daftari kuwa Mshauri wa Rais -Pemba katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjin Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/01/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bi Rahma Ali Khamis kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjin Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/01/2017.
No comments:
Post a Comment