BAADHI ya Mafundi wa shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) Tawi la Pemba, wakitoa maringi yaliyohifadhiwa waya wa umeme katika meli ya MV Jitihada na kuvipeleka katika kisiwa cha Fundo, baada ya meli hiyo kufika kisiwani huko na vifaa mbali mbali kwa ajili ya kusambaza umeme.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAFANYAKAZI wa Shirika la umeme Zanzibar (ZECO) Tawi
la Pemba, wakiiteremsha moja ya Tansfoma inayotaka kuwekwa katika kisiwa Cha
Fundo, kutoka katika gari maalumu uliyoibeba kutoka ndani ya Meli ya MV
Jitihada, iliyofika katika bandari ya fundo kwa kuteremsha vifaa mbali mbali
vya Umeme Kisiwani huko.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment