Viongozi wa Chuo cha TSJ na viongozi wengine wakiwa katika ukumbi wa hafla ya mahafali ya Chuo cha Waandishi wa Habari Tawi la Pemba yaliofanyika katika ukumbi wa ZSTC Makonyo Chakechake.
Viongozi mbali mbali
wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakifuatilia kwa makini mahafali ya Pili
ya wahitimu wa fani ya Habari ngazi ya Cheti na Diploma katika Chuo cha
Uwandishi wa Habari TSJ Tawi la Pemba, mahafali hayo yaliyofanyika huko katika
ukumbi wa Makonyo Wawi Chake Chake
Mhitimu wa Fani ya
Habari ngazi ya Cheti kutoka Chuo cha Uwanidshi wa habari Time School and
Journalism (TSJ) Tawi la Pemba, Moza Abdi akisoma risala ya wafanuzi wakati wa
mahafali ya pili ya Chuo hicho kufanyika Kisiwani Pemba
Mkuu wa Chuo cha
Uwandishi wa habari Time School and Journalism (TSJ)Tawi la Pemba, Suleiman
Rashid Omar akisoma risala ya Chuo wakati wa mahafali ya Pili ya chuo hicho
kufanyika Kisiwani Pemba
Mkurugenzi wa Bodi ya
Chuo cha Time School and Journalism Tanzania bara, Kiondo Mshana akitoa salamu
za Chuo kwa wahitimu wa Fani ya Habari ngazi ya Cheti na Diploma, wakati wa
mahafali ya pili ya chuo hicho kufanyika kisiwani Pemba
Afisa Mdhamini Wizara
ya Habari Pemba, Khatib Juma Mjaja akitoa salamu zake kwa wahitimu wa fani ya
habari ngazi ya Cheti na Diploma, wakati wa mahafali ya Pili ya Chuo cha
Uwandishi wa Habari cha Time School and Journalism (TSJ) kufanyika Pemba
Naibu Waziri wa
Wizara ya Afya Zanzibar, Mhe:Harusi Said Suleiman, akizungumza na wahitimu wa
fani ya habari ngazi ya Cheti na Diploma, wakati wa mahafali ya Pili ya Chuo
cha Time School and Journalism (TSJ) Tawi la Pemba kufanyika Kisiwani Pemba
Wahitimu wa Fani ya
Habari ngazi ya Diploma katika Chuo cha Uwandishi wa habari Time School and
Journalism Tawi la Pemba, wa kwanza kushoto Zuhura Juma Said, Zuhura Msabah,
Said Abrahman, ambao wanajitolea katika gazeti la Zanzibarleo Ofisi ya Pemba
Naibu Waziri wa
Wizara ya Afya Zanzibar Mhe:Harusi Said Suleiman, akimkabidhi cheti cha
uwandishi wa habari ngazi ya Diploma, mhitimu Said Abrahman, ambaye anajitolea
katika gazeti la Zanzibarleo Ofisi ya Pemba
Wahitimu wa Fani ya Habari Ngazi ya Cheti na Diploma, kutoka
katika Chuo cha Time school and Journalism (TSJ) Tawi la Pemba, wakiwa katika
mahafali yao ya Pili kwa Chuo hicho kufanyika Kisiwani Pemba.
Wahitimu wa Fani ya Habari Ngazi ya Cheti na Diploma, kutoka
katika Chuo cha Time school and Journalism (TSJ) Tawi la Pemba, wakiwa katika
mahafali yao ya Pili kwa Chuo hicho kufanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment