Sehemu ya Nyumba hizo
za Ghorofa za Shirika la Nyumba la Taifa NHC katika eneo la Raha Leo mkoani
Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa
Beno Ndulu, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango na Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara Halima Dendego akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Jengo la
Ofisi ya kutoa Huduma za Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Mtwara
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi kabla ya kufungua rasmi Jengo la Ofisi ya kutoa Huduma za Benki Kuu ya
Tanzania Tawi la Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa Mtwara mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Maftah Nachuma kabla ya kufungua
rasmi Nyumba za Shirika la nyumba la Taifa NHC katika eneo la Raha leo
mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Gavana wa Benki
Kuu ya Tanzania Profesa Beno Ndulu mara
baada ya kufungua jengo la Ofisi ya kutoa Huduma za Benki Kuu ya Tanzania Tawi
la Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha
na baadhi ya watoto mkoani Mtwara waliomfata
kumsalimia mara baada ya kufungua jengo la Ofisi ya kutoa Huduma za Benki Kuu
ya Tanzania Tawi la Mtwara.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment