Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Awasili Nchini Indonesia. Kuhudhuria Mkutano wa IORA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akifuatana na Mhe, Airlangga Hartarto miongoni mwa Viongozi wakuu Nchini Indonesia mara alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Nchi hiyo akiwa na Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na Mawaziri na Maafisa aliofuatana nao,Rais Shein anamuwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi IORA Nchini Indonesia, [Picha na Ikulu.] 05/3/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Miongoni mwa Viongozi wakuu Nchini Indonesia Airlangga Hartarto mara alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Nchi hiyo akiwa na Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na Mawaziri na Maafisa aliofuatana nao,Rais Shein anamuwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi IORA Nchini Indonesia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  na mwenyeji wake  Mhe, Airlangga Hartarto miongoni mwa Viongozi wakuu Nchini Indonesia pamoja na Viongozi wa wengine wa Nchi hiyo pamoja na Ujumbe aliofuatana nao wakiwa katika ukumbi wa VIP wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno -Hatta Jakarta Nchini Indonesia alipowasili nchini humo kuhudhuria  Mkutano wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi IORA Nchini Indonesia akimuwakilisha Rais John Pombe Magufuli , [Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.