Habari za Punde

Ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Kisiwani Pemba na Kukabidhi Kadi kwa Wanachama Wapya wa UVCCM.

NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Abdullghafar Idrisa akizungumza na vijana wa Umoja wa vijana wa CCM Wilaya ya Mkoani, katika banda la Karafuu Chambani Kisiwani Pemba
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar,Ndg. Abdullghafar Idrisa akikabidhi kadi mwanachama mpya wa CCM aliyejiunga na chama hicho, wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake huko katika banda la Karafuu Chambani
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Abdullghafar Idrisa akikabidhi kadi mwanachama mpya wa CCM aliyejiunga na chama hicho, wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake huko katika banda la Karafuu Chambani
Vijana  wa Umoja wa Vijana wa CCM Kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Abdullghafar Idrisa Juma, wakati alipokuwa akizungumza na vijana hao katika kikao cha Majumuiyo kilichofanyika katika banda la Karafuu Chambani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.