Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya
zoezi la uhakiki wa vyeti kwa Watumishi
wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe katika vitabu hivyo vya
taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa
watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa
Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na
wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris
Kikula
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa kitabu cha Taarifa ya zoezi la uhakiki
wa vyeti kwa watumishi wa umma
alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na kufungua boksi kubwa
lenye majina ya watumishi zaidi ya 9,932 waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi
mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela
Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa kitabu cha Taarifa ya zoezi la uhakiki
wa vyeti kwa watumishi wa umma
alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma jina mojawapo la mtumishi
aliyegushi cheti katika taarifa hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia majina hayo pamoja na Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya
kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi hao wa umma ambao wamegushi
vyeti vyao.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa , Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako, Spika
wa Bunge Job Ndugai, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala bora Angela Kairuki wakiminya kitufe kuashiria maadhimisho ya
miaka 10 ya Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akihutubia viongozi mbalimbali, wanafunzi wa UDOM, pamoja na watumishi
wa Umma mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela
Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akihutubia viongozi mbalimbali, wanafunzi wa UDOM, pamoja na watumishi
wa Umma mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela
Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Ukumbi wa Chimwaga.
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia katika hadhara hiyo katika Chuo kikuu cha
Dodoma UDOM
Wanafunzi wa UDOM
wakisikiliza kwa makini Hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika maadhimisho ya miaka 10
toka kuanzishwa kwake.
Baadhi ya Makatibu wakuu
pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali wakifatilia kwa makini hotuba
iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya miaka 10 ya Chuo kikuu
cha Dodoma UDOM katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment