Habari za Punde

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar azungumza na wafanyakazi wa Idara ya habari Pemba

 AFISA mdhamini Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja akizungumza na wanafanyaki wa Vitengo mbali mbali vilivyochini ya Wizara yake Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 BAADHI ya Wafanyakazi Wizara ya Habari Pemba wakimsikiliza kwa makini Naibu Katibu Mkuu Wizara hiyo Zanzibar, Dr Amina Ameir wakati alipokuwa akizungumza nao Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar Dr Amina Ameir Issa, akizungumza na wafanyakazi wa Wizara ya Habari Pemba, katika mkutano maalumu uliofanyika Katika Ofisi ya Wizara hiyo Chake Chake Pemba. .(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWANDISHI wa Habri kutoka Idara ya Habari Maelezo Pemba, Hamad Shapandu Mwinyi akitoa neneo la Shukurani kwa niaba ya waandishi wenzake wa Habari, mara baada ya kumalizika kwa kikao cha Pamoja na Viongozi wa Wizara ya Habari Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.