Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Mussa Mvita, akimkabidhi Seti ya Jezi Nahodha wa Timu ya PBZ Ndg Hassan Maulid, kwa ajili ya kuweza kushiriki vizuri katika michuano ya Kombe la Mei Mosi linalojumuisha Timu za Wafanyakazi wa Serikali na Mashirika ya Umma yanayotarajiwa kufanyika wiki ijayo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, wakishuhudia Viongozi wa Timu ya PBZ, hafla hio ya makabidhiano ya vifaa hivyo vya michezo yamefanyika katika Ofisi ya Benki hiyo Darajani Zanzibar.
Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Mussa Mvita,mwenye kati akimkabidhi Seti ya Jezi Nahodha wa Timu ya PBZ Ndg Hassan Maulid na kulia Katibu wa Timu ya PBZ Ali Mwinyijuma.
Dkt. Mwinyi Aagiza Elimu ya Branding Kuwafikia Watanzania Wote
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali
Mwinyi, amesema kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko, Serikali
inaendelea kufany...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment