Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya maji machafu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo katika maeneo ni kero kwa wananchi wakati wa mvua za masika hujaa maji na kulazimika wananchi wa maeneo hayo kuhama katika maeneo yao kwa kujaa kwa maji.Kama inavyoonekana picha mafundi wa kampuni inayosimamia mradi huo wakiendelea na ujenzi wa mtaro huo katika eneo la Jang'ombe Unguja.
DKT. NCHEMBA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amelihakikishia Shirika
la Marekani la Changamoto za Milenia (Millenn...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment